MSANII WA BONGO FLAVOR - ROLLY AFUNGUKA KUHUSIANA NA MAISHA YAKE YA KIMZIKI
Msanii wa bongo flavor afaamikae kwa jina la Rolly afunguka mengi juu ya muziki wake pamoja na changamoto anazozipata katika kazi yake ya muziki.
NUKUU:
"Nimetoa nyimbo yang mpya iitwayo TETE nashukuru mashabiki pamoja na wadau wangu wamenipokea kwa kiwango kikubwa na kuifurahia kazi yangu na pamoja na kunipa matumaini ya kufika mbali,kwa sababu ndio kazi yangu iliyonifanya napata wakati mgumu kutengwa na Ndugu zangu, ila bado sjakata tamaa nitaendelea kufanya muziki na ndo kwanza naanza safari yangu naamini nitapata sapoti sehemu mbalimbali kwa wadau wanaopenda muziki wangu.
Aliyasema hayo kupitia Tono TV na kuwaomba wadau na mashabiki kumpokea na kumwamini kwa sababu ana kazi nyingi Nzuri.
Please watch & Share
Rolly - Tete (Official Video)
Directed by @tidiaz_flims
@maxmizer
Link - https://youtu.be/fPBEW4EabUY
Link kwa Bio Instagram 👉 Rolly_tz
No comments