MSANII WA NYIMBO ZA ASILI TULIVUNDWE AFUNGUKA MENGI JUU YA UJIO WA VIDEO AKE
Msanii Wa Nyimbo za Asili Afaamikae kwa Jina la TULIVUNDWE , Afunguka mengi kuhusu Video Ake Mpya.
-- NUKUU: "Natarajia kutoa Video yangu mpya ya Nyimbo ya SUGANGA UMWANA ambayo inahusiana na malezi ya watoto pamoja na Elimu kuhusu madhara ya Utoaji Mimba ,kwahyoo wadau na mashabiki Wa Mziki huo Wa Asili watarajie Kazi Nzuri " Alisistizaa....!!
Oooooh tunasubiriii
ReplyDeletenamkubali sanaaaa hyooo........mwambie tunasubiliiiii,,,,
ReplyDelete