MTOTO KAKUTWA KAMEZA SINDANO SABA ZA KUSHONEA NGUO

Mtoto Wa kike Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu Mkazi Wa kijiji cha Karinget Kaunti ya Pokot amekutwa na Sindano 7 za kushonea kwa mkono Tumboni mwake , baada ya kupigwa picha ya XRAY

Bibi yake Bi. Emily linga'a ambaye ndiye anaishi naye , Amesema mtoto huyu alikuwa akilalamika maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka miwili , lakin hakuweza  kubaini Mara moja chanzo cha maumivu ayo na kuendelea kumpa Dawa za kutuliza maumivu , lakini kuona anazidi kulalamika walimpeleka hospital na kugundua ana Tatizo hiloo.

® Madaktari Wa Hospital hiyo wamempa Rufaa ya kwenda Hospital kubwa ya Moi ili kuweza kufanyiwa Upasuaji Wa tumbo , na kutolewa Sindano hizo ambazo hazijajulikana Zimeingiaje

SHARE.       LIKE.          COMMENT

No comments

Powered by Blogger.