Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi na Katibu wa Chadema Nyanda za Juu Kusini,Emmanuel Masonga Waachiwa Huru.
Waheshimiwa hao walihukumiwa kifungo cha miezi 5 kwa kukutwa na hatia ya Uchochezi.
Walifungwa katika Gereza la Ruanda Jijini Mbeya , Shitaka lao lililo somwa Febr. 2, 2018
No comments