HATUA NGUMU ANAZOPITIA MSANII MASAI IZOO DOMY KATIKA TASNIA YA MUZIKI

Hatua ngumu anazopitia msanii Masai Izoo Domy katika tasniya ya muziki mojawapo ni kukwamishwa na maproducer

Anasema mambo mengi zaidi atafunguka hivi karibuni baada ya kukamilisha video yake  ya #Umenibamba

👇🏻ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni

NANUKUU
"Nawaomba mashabiki na wadau mbalimbali
wa  muziki wasichoke kunisapport japo  kuna  watu wananirudisha nyuma kifikra na kiweredi nitapambana mpaka nione mwisho wake .
Nawashukuru sana...."

No comments

Powered by Blogger.