KANISA KATORIKI LAPIGA MARUFUKU WAJAWAZITO KUVAA SHELA WAKATI WA KUFUNGA NDOA

Kanisa katoriki Jimbo kuu la Arusha ,Limepiga Marufuku wajawazito kuvaa Shela wakati Wa kufunga Ndoa kwa kuwa vazi hiloo ni Alama ya Ubikra kwa Mwanamke ..
--
Paroko Msaidizi Wa kanisa kuu la  Mtakatifu Theresa,Padri Festus Magwangi,alisema hayo kanisani akiweka Mkazo Juu ya Tamko lililotolewa na Askofu Mkuu Jimbo hiloo,Issack Amani,Wakati Akiadhimisha Misa ya Shukran iliyofanyika Jumapili iliyopitaa.

1 comment:

Powered by Blogger.